music

HANS%20MBEDULE%20BLOG

Monday, January 2, 2012

katiba ijayo na maendeleo ya nchi yetu

kwa kuanzia napenda kuwapongezeni kwa kuchaguliwa tena kuingia katika huu mwaka mteule 2012
 mwenyezi mungu awajaalie maisha marefu yenye kujiletea maendeleo binafsi na taifa kwa ujumla.
 nirudi kwenye lengo la maada ya kuu, ikiwa mchakato wa kukusanya maoni ya wananchi juu ya katiba tarajiwa iwejee, kunajambo nataka tushee pamoja, kiukweli tanzania itaweza kuendelea iwapo itapatikana katiba yenye makusudi na wananchi wake na sio katiba yenye kuwapa maendeleo ya wachache na wenye feza kwa na kuwaacha wanyonge wakiendelea kudidimia kimaisha, ombi kwa wananchi wenzangu tusijifiche bali tutoke na kujitokeza kwa wingi kuchangia japo kwanafasi finyu tuliopata kwa uzio wa kutojadili mambo mengine ambayo tume ya kukusanya maoni haita yawasilisha hatakama yatajadiliwa. habibu ya rejea kama mswada uliopitishwa ulivyo

No comments:

Post a Comment