music

HANS%20MBEDULE%20BLOG

Thursday, March 1, 2012

vip ukichaguliwa kuwa mmoja wa tume ya kuunda katiba utafanyaje kw manufaa ya Tanzania ya kesho?

Naamu watanzania wenzangu habari za mishuhuriko ya hapa na pale katika kujipatia chochote kitu na ujenzi wa taifa kwa ujumla,
Leo nataka kujua kama watanzania na vijana wa taifa la sasa na kesho, iwapo utapata fursa ya kuteuliwa kwenye tume ya Rais katika kukusanya maoni kwa ajili ya katiba mpya utawasaidiaje wa tanzania kuwasilisha maoni yao? au utatumia nafasi hiyo kujipatika kipato kwa ajili ya njaa ya leo nakusahau watanzania wenzako wa kesho?