music

HANS%20MBEDULE%20BLOG

Sunday, January 8, 2012

mwendo wa kinyonga na maendeleo ya tanzania

mwaka 2011 tumeshuhudia majigambo ya viongozi wa nchi yetu ya tanzania wakisema tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele. lakin nikiwa kam mtanzania naweza kuwa na mtazamo tofauti na kaulimbiu hiyo ya serikari kwa mambo yafuatayo
miaka hamsini ya uhuru yenye miundo mbinu mibovu, naam nikiwa mkoani tabora nimejikuta katika hali ya maisha hatarishi hasa katika suala la barabra ipitayo manyoni Itigi kiukweli kama unaelekea Samunge yaani barabar ni yavumbi mpaka kerooo na isitoshe kunakipande kama cha km 10 ama kilitumika kuombea kula za ubunge ama ngazi ya juu kwani ni bonge la danganya toto,
mfumoko wa bei za vyakula ni balaaa, hali inayo mfanya babu na bibi yangu wa igowole waweze kuishi katika (Abject Poverty) umaskin ulio kithili kiasi cha kula mlo mmoja ama kutokula kabisha. swali je ni  tumethubutu, tumeweza na tunasonga mbele kimaendeleo ama kiamskini

No comments:

Post a Comment